Dkt. Gwajima awataka wananchi kuzingatia taratibu wakati wa kuchukua miili ya marehemu
Na Mwandishi wetu, Julai 06 2021 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wananchi kufuata mifumo na taratibu za kuchukua miili ya marehemu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na zingine zote nchini ili kuondokana na malalamiko kwamba hospitali imekuwa ikizuia kuichukua kwa ajili ya kwenda kuihifadhi. Kauli hiyo imetolewa na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed